Mtifuano Bunge na Chadema, Msanii Bongo Fleva kamati kuu CCM, Mabadiliko makubwa CCM, Kinana aaga Halmashauri kuu, mrithi wake kujulikana leo, Pinda Makongoro Nyerere, Keisha watinga kamati kuu,  Safu ya JPM sasa yakamilika NEC yamkubalia Kinana kustaafu Ukatibu Mkuu, Mamia wamuaga mbunge Bilago Dar, Serikali yatoa bil.54 fidia bomba la mafuta…,Bofya hapa kutazama habari kubwa zilizopewa uzioto leo Mei 29, 2018.

Hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho- Kinana
Magazeti ya Tanzania leo Mei 29, 2018