Mwigulu, ‘Niliomba ubunge na si uwaziri’, Dege la JPM kutua leo, Sumaye afunguka alichosema Ikulu, Mtatitiro azungumza saa 17 mahojiano yake polisi, Wanandoa vijana waongoza kudai talaka mahakamani, Raia wa Marekani wabambwa na dawa za kulevya Dar, Pangua pangua zimamoto, Kauli 3 tata za Waziri Lugola,…Bonyeza kitufe chekundu hapa chini kutazama video za magazeti kufahamu habari zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Julai 8, 2018.

Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner kutua leo mchana
Wazee wataka vitambulisho viondolewe ‘mahali alipozaliwa’