Kufuatia tamko la chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) la kufanya mikutano ya hadhara na maandamano tarehe 1 Septemba 2016 nchi nzima, Msemaji wa chama cha Mapinduzi Christopher Ole Sendeka amejibu hoja hizo zilizotolewa na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, na kutoa ushauri huu kwa chama hicho, Tazama

Azam FC Wamalizana Na Winga Wa Medeama SC
John Obi Akana Kuisaidia Timu Ya Taifa