Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Saharif vHamad amesema kuwa Prof. Ibrahim Lipumba si yule anayemfahamu kwani kwasasa amekubari kutumika.
Â
Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amesema kuwa Prof. Ibrahim Lipumba kwasasa amekubari kutumika si yule aliyekuwa na misimamo ya awali.
Â
Aidha, katika mkutano wake na waandishi wa habari amesema kuwa anaunga mkono waraka wa maaskofu wa KKKT na anatamani viongozi wake wa dini ya Kiislam kutoa tamko