Rais Magufuli aandika rekodi, Magufuli afichua mbinu 3 kampuni kukwepa kodi, Fatma karume aishukia Serikali, Waliomuua Bilionea Msuya wahukumiwa kunyongwa, Sababu tatu watu 65 kujiua ndani ya miaka miwili mkoani Geita, Maajabu Dar duka latiwa pingu mlangoni….Bofya hapa kutazama video ya habari zilizopewa ukubwa katika magazeti ya leo Julai 24, 2018.

DataVision International, DC Mjema kuja na mradi wa kuwasaidia madereva Bodaboda na Bajaji
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Julai 24, 2018