Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha Wakurugenzi wa Miji, Halmashauri na Manispaa,  Akizungumzia katika hotuba ya kuwaapisha Rais alizungumzia taarifa zilizozagaa kuhusu mfanyakazi wa hotel anaedaiwa kuteuliwa kuwa mkurugenzi. Tazama hapa

Video: Rais Magufuli Azungumzia Taarifa Zilizosambaa kuhusu Mkurugenzi Aliyemteuwa
Roma kuachia Video na Audio ya ‘Kaa Tayari’ Kesho, angalia kionjo hapa