Siku za ubunge wa Mbowe, Zitto zinahesabika, Msaidizi wa Membe ‘aliyetekwa’ ageuziwa kibao, Balozi khamis Kagasheki atoa kauli nzito, JPM ang’ara tena kimataifa, Jafo atambia ushindi shule za kata kidato cha sita, Wanafunzi 10 bora Sayansi wapata ufadhili masomo, Viongozi wa dini wageukia ukuzaji uchumi, Kilichojificha shule 10 bora matokeo ya kidato cha sita, Wataalamu wataja mambo sita yanayowavutia marais kumfuata Rais Magufuli,.. Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magaeti ya leo Alhamisi, Julai 13, 2019.

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=7D_4Kf1emIY]

UN yamgeukia Rais Duterte, sasa kuanzisha uchunguzi dhidi yake
Trump kuanza kuwafukuza wasio na vibali vya kuishi Marekani