Ukarabati wa barabara Tandale Sokoni, umegeuka mwiba baada ya mkandarasi kushindwa kukamilisha hadi kipindi cha masika kilipoanza, shimo alilo chimba linajaa maji na watoto wanazama, Osha waibuka na kumpa masaa 6 mkandarasi afukie,…Bofya hapa kutazama