Mkurugenzi wa utalii, Zahoro Kimwaga ametoa ufafanuzi wa maneno Hotel, Motel na Lodge.
Kimwaga ametoa ufafanuzi huo alipokutana na waandishi wa habari ambapo alieleza kuwepo kwa uposhoshwaji wa matumizi wa majina hayo naye akatoa ufafanuzi huu hapa:-