Tsunami nyingine yaikumba Chadema, wanachama wake 27 Kigoma wajiunga na CCM, Polisi yalipua bomu la aliyedai kutekwa, yasema alijiteka ili kujipa umaarufu kisiasa, Serikali yaja na Bajeti ya trilioni 32/-, deni la Serikali lafika trilioni 47.75…, Bofya kutazama habari zote zilizopewa uzito katika magazeti ya Tanzania leo Machi 14, 2018.

Viongozi Mtandao wa Wanafunzi waitwa kwa DCI kesi ya Nondo
Mourinho awashangaa wanaoishangaa Manchester United