Mbunge wa viti maalumu Iringa, Ritha Kabati amesema kuwa vijana wengi wanazeeka kwa sababu ya pombe na ulaji wa vyakula vingi bila kufanya mazoezi yeyote ya mwili.

Akitatua changamoto hiyo Mkoani Iringa mkoa ambao unakiwango kikubwa cha baridi na wa tatu kwa maambukizi ya virusi vya Ukimwi ameamua kuazisha ‘Challenge’ alizoziita kabati Challenge zenye mlengo wa kuhamasisha vijana kufanya mazoezi ili kuepukana na matendo ya uhalifu kama vile ngono zembe, ubakaji, wizi, uvutaji bangi na uhalifu mwingine.

Bofya hapa chini kusikiliza zaidi.

Video: "Chadema inazama, haiwezi shika dola, nikaona nihame" - Mbunge Marwa
Rais Magufuli apongeza jitihada za RC Hapi katika udhibiti wa kodi