Wananchi wote kuvaa barakoa, Ni pasaka ya aina yake, Serikali yataka umakini katika nyumba za ibada,Corona watishia ukuaji wa uchumi, Wiki mbili kuamua makali ya Corona hapa nchini, Mabasi ya mwendokasi yalivyonunuliwa kifisadi, Mwalimu mkuu auawa kikatili mwili wake watupwa shambani, Karantini ni lazima RC Chalamila…Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Aprili 10, 2020.
[youtube https://www.youtube.com/watch?v=lAMiA6bOnaE]

Rais aongeza siku za Karantini nchi nzima Afrika Kusini
Rais, Mawaziri na Wabunge wawekwa Karantini Botswana