Katika mchezo wa mpira wa miguu kunakuwa na vituko mbali mbali vinavyotokea uwanjani, vingine vya kufurahisha lakini vingine vya kukasirisha. imezoeleka kwa wanasoka wengi kupoteza muda makusudi uwanjani kama tu timu zao zinaongoza mchezo kwa magoli au mchezo umekuwa mgumu kwao hivyo wanataka japo mchezo umalizike bila ya kufungana. Bofya hapa chini kuitazama hii kali

Sheikh Mkuu Dar ahudhuria kanisani kwa Mzee wa Upako
Video: Akothee ndani ya shela[OFFICIAL WEDDING] - Yuko Moyoni