Wanaume waridhia Dangote aoe wake zao, alilimia 66 ya wanaume wamekubali kuwaachia wachumba ama wake zao ili waolewe na tajiri Dangote…, JPM ampa pole bosi Magereza, amtwisha majukumu mazito akimwapisha kushika madaraka, Chakula harusini chamshtua waziri, ataka kichunguzwe, Kigogo NSSF atumbuliwa, nafasi yake yachukuliwa na William Erio wa PPF…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Julai 15, 2018

Video: Nakupongeza kidogo, lakini pole ndio nyingi - Rais Magufuli
Lugola: Nitafanya kazi bila kujali nafasi ya mtu wala upendeleo