Waraka wa Zitto miaka mitatu ya JPM, atoa changamoto, angalizo kwa watawala na wananchi, Sakata la Sh1.5 trilioni laibuka upya, PAC yasema haikuridhishwa na majibu ya Serikali, yamtaka CAG kupitia upya majibu hayo, Mzee wa miaka 65 adaiwa kumbaka mtoto wa miaka mitatu Dar…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika kurasa za mbele za magazeti ya leo Novemba 6, 2018.

LIVE: Yanayojiri Bungeni Dodoma leo Novemba 6, 2018
Waziri Mkuu Majaliwa ampa siku saba Mwijage