Washikwa pabaya, Polepole ataka uchunguzi wa haraka ili wachukue hatua, Mbunge CCM ataka Chenge, Ngeleja wakamatwe, alisema “ni lazima wakamatwe hawa ili iwe mfano kwa wengine”, Wabunge wararuana…, Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Juni 16, 2017. Bofya hapa kutazama

?Live: Yanayojiri Bungeni Dodoma leo Juni 16, 2017
Magazeti ya Tanzania leo Juni 16, 2017