Watoto 400 wapotea ndani ya miaka 3, Wabunge 15 Ukawa wanaotajwa kuhamia CCM, Tanzania, Kenya sasa kubadilishana wafungwa, Mikoa 21 yatajwa kuongoza ndoa za Utotoni, Nyumba 20 zachomwa, Sumaye amtahadharisha Dk Bashiru kwa kauli zake, Mtanzania wa Boeing apendekezwa kuwania tuzo ya Mhandisi Bora Marekani.., Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya leo Oktoba 9, 2018.

Uhaba wa walimu wamchefua Majaliwa
Rais Magufuli aagiza kusimamishwa kazi makamanda wa Polisi