Waziri akuta kondomu zikiwa zimeanikwa juani hospitalini, Baba matatani kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake, Lugola, vigogo Nida waitwa Ikulu, TCRA yazigeukia laini zilizokwisha kusajiliwa, Mvua ya saa 7 yaitikisa Dar,…Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Ijumaa January 17, 2020.
[youtube https://www.youtube.com/watch?v=G_u1160S6Fw]

Mkutano wa Zitto wazuiliwa Kigoma
Baba amuua mtoto kwa kumchoma moto kwenye makalio