Wiki ya majonzi, Akwilina azikwa familia yataka haki itendeke, Waziri Ndalichako aahidi kumchukua na kumsomesha mdogo wake, Kigogo Chadema auawa kinyama, EU yataka uchunguzi wa haraka, yagusia tukio la Lissu, Rais Magufuli na Kenyatta waamua mambo manne…, Bofya kutazama habari zote zilizopewa uzito katika magazeti ya Tanzania leo Februari 24, 2018

Mwanasheria Mkuu Kenya apambana kuharamisha ushoga
Polisi yadai mauaji ya diwani wa Chadema ni ya kulipiza kisasi