Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefika Makao makuu kanda maalum ya Dar es salaam, ikiwa ameitikia wito wa polisi. Zitto amefika kituoni hapo na ametakiwa atoe maelezo kuhusiana na maudhui ya hotuba ambayo aliitoa June 5 2016.

Wakili wa Zitto Kabwe Naye Akayazungumza Haya

54 wamefikishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya barabara ya mwendokasi
Kocha Mpya Wa Azam FC Kuamua Hatma Ya Didier Kavumbagu