Mariam Manyama aliyeongoza Wasichana kitaifa mtihani wa kumaliza kidato cha Nne 2018, ameeleza kuwa yeye sio watofauti, ameweka historia ya kuwasimulia watoto wake.

Wazazi wake waliota ndoto za yeye kuja kufanyavizuri katka masomo yake tokea ameanza kidato cha nne.

Majaji walalama ukata, wamuomba Rais aingilie kati
Video: Davido agusa rekodi za Jay Z, Rihanna, Drake, Kanye