Ukiacha Kamati Kuu ya kuratibu michuano ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U17/2019) kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 17, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefanya uteuzi mwingine.

Uteuzi huo umeegemea zaidi kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya Maandalizi (LOC) wakiwamo viongozi wakuu wa TFF na wanafamilia wengine ambao kwa pamoja watafanya kazi ya kuandaa michuano hiyo itakayofanyika Tanzania mwaka 2019.

Wakati jina namba moja ni Mwenyekiti wa kila kamati ndogo wajumbe wengine katika kamati hizo ni kama ifuatavyo:

Miundombinu (Infrastructure)

  1. 1. Paul Makonda (Mwenyekiti)
  2. 2. Yusuph Singo
  3. 3. Sunday Kayuni
  4. 4. Leslie Liunda
  5. 5. Nassoro Idrissa
  6. 6. Mohamed Kiganja
  7. 7. Mhandisi Davis Shemangale

Masoko na Habari (Marketing, Commercial and Media)

  1. 1. Kelvin Twissa (Mwenyekiti)
  2. 2. Angetile Osiah
  3. 3. Dk. Hassan Abbas
  4. 4. Dk. Omari Swaleh (Chuo Kikuu cha Mzumbe)
  5. 5. Iman Kajula
  6. 6. Tido Mhando
  7. 7. Head of Marketing – NMB

Fedha na Mipango (Finance and Planning)

  1. 1. Doto James (Mwenyekiti)
  2. 2. Mohamed Dewji
  3. 3. Dk. Seif Muba
  4. 4. Bernard Lubogo
  5. 5. Paul Bilabaye
  6. 6. Jacquelline Woiso
  7. 7. Cornel Barnabas

Usafiri na Malazi (Transport and Accommodation)

  1. 1. Mhandisi Ladislaus Matindi (Mwenyekiti)
  2. 2. Abubakar Bakhresa
  3. 3. Aziz Abood
  4. 4. Alhaj. Ahmed Mgoyi
  5. 5.  Mhe. Ahmed Shabiby
  6. 6. Dk. Maige Mwakasege Mwasimba
  7. 7. Shebe Machumani

Uratibu Utalii

  1. 1. Dkt. Khamis Kigwangala (Mwenyekiti)
  2. 2. Allan Kijazi
  3. 3. Devotha Mdachi
  4. 4. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke
  5. 5. Hoyce Temu
  6. 6. Leah Kihumbi (Mkurugenzi Sanaa)
  7. 7. Athuman Jumanne Nyamlani

Itifaki

  1. 1. Kamishna Mkuu wa Uhamiaji (Mwenyekiti)
  2. 2. Mndolwa Yusuph
  3. 3. Filbert Bayi
  4. 4. Mkurugenzi Uwanja wa Ndege JNIA
  5. 5. Happiness Luangisa
  6. 6. Alex Makoye Nkenyenge
  7. 7. Alhaji Idd Mshangama

Tiba na Udhibiti wa Dawa za Kusisimua Misuli (Medical and Doping Control)

  1. 1. Prof. Lawrence Museru (Mwenyekiti)
  2. 2. Dkt. Paul Marealle
  3. 3. Dkt. Edmund Ndalama
  4. 4. Dkt. Christina Luambano
  5. 5. Daktari Mkuu wa Hospitali ya Temeke
  6. 6. Hiiti Sillo

Sheria na Taratibu

  1. 1. William Erio (Mwenyekiti)
  2. 2. Dk. Damas Ndumbaro
  3. 3. Edwin Kidifu
  4. 4. Ally Mayai
  5. 5. Khalid Abeid

Ulinzi na Usalama (Safety and Security)

  1. 1. IGP. Simon Siro (Mwenyekiti)
  2. 2. Michael Wambura
  3. 3. CP. Andengenye – Zimamoto
  4. 4. CP. Lazaro Mambosasa – Polisi Kanda ya Dar-es-Salaam
  5. 5. Mkuu wa Askari wa Usalama Barabarani.
  6. 6. TISS
  7. 7. Jonas Mahanga

Rasilimali Watu (Human Resources)

  1. 1. Dk. Francis Michael (Mwenyekiti)
  2. 2. Allan Kijazi
  3. 3. Wane Mkisi
  4. 4. Juliana Yassoda
  5. 5. Gerald Mwanilwa

Kamati hizo ndogo zitakuwa chini ya Kamati Kuu inayoongozwa na Mwenyekiti Dk. Harrison Mwakyembe (MP); Makamu Mwenyekiti wa Leodegar Tenga na Mtendaji Mkuu wa Kamati hiyo ni Henry B. Tandau.

Magufuli afanya uteuzi mwingine
DK. Mwakyembe anena Kilimanjaro stars ikisafiri