Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa daraja la mto Kavuu wilayani Mlele Agosti 23, 2016.
Ujenzi wa daraja la mto Kavuu wilayani Mlele ambalo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wake Agosti 23, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakiwapungia wananchi wa kijiji cha Majimoto wialyani Mlele kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo, Agosti23, 2016.