Rapa Kala Pina ambaye aliwahi kugombea ubunge wa jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya ACT – Wazalendo, ametoa wimbo mpya alioupa jina la ‘Magufuli Balaa’.

Pina ameeleza kuwa ameamua kufanya hivyo kwa sababu ameridhishwa na kasi ya mabadiliko inayooneshwa na rais John Magufuli.

Lowassa Aizungumzia Tena Ikulu
Zilizopenya 16 Bora UEFA Champions League 2015-16