Baada ya kufunguliwa pingu na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Nay wa Mitego ameachia wimbo wake wa kwanza nje ya kifungo alioupa jina la ‘Good Time’. Wimbo huo umesukwa ndani ya Burn Records na amemshirikisha Tiki.

Enjoy!

Chadema Kilimanjaro watamba kushiriki Oparesheni Ukuta
Harmonize afyatuka, ataka kuvaa ‘dera’ ili asifananishwe na Diamond