Jina langu Beatrace, wakati namtambulisha mchumba wangu kwa marafiki zangu na familia, wengi hawakukubaliana na mimi, walikuwa wananishangaa kwanini nataka kuolewa na mwanaume ambaye sio msomi atakuwa mzigo nyumbani.

Sikusikiliza mtu yeyote kwa sababu nilimpenda nikaamua kuoana naye na tukaanza maisha vizuri tu. Nilimpatia mtaji akaanzisha biashara ya chakula na ndani ya muda mfupi hivi faida aliyokuwa anaitapa ikawa ni zaidi ya mshahara wangu kwa mwezi.

Hata hivyo, nasikitika kusema kwamba mume wangu alianza kuwa na uhusiano wa kimepanzi na baadhi ya wafanyakazi pale kazini bila mimi kujua kama kuna jambo lolote linaendelea.

Suala hilo lilifanya biashara kuyumba ghafla hadi nikawa najiuliza nini shida. Nilipokuja kuchunguza, ndipo nikafahamu hilo, kumbe mume wangu alikuwa hadi amempangia chumba mmoja wa wafanyakazi wetu.

Kusema kweli nilishikwa na hasira sana hadi kuomba talaka kwa mume wangu. Naye hakukawia aliweza kunipa talaka yangu kisha nikaendelea na maisha yangu ya utafutaji.

Baada ya kuachana nikawa sina mpango wa kurudi tena kwenye mahusiano tena. Ikawa ni ngumu kwangu mimi kuwaamini tena wanaume. Kitu pekee ambacho nikawa naweza kujifanyia ni kuendelea kutafuta pesa.

Kuna wakati nilishawishika kusema, “tabia za wanaume wote ni sawa”. Ila kuna muda niliona sio kweli maana kaka zangu wanawajibika kwa familia zao na niwaaminifu sana.

Ghafla nilikuta aliyekuwa mume wangu ana mafanikio makubwa kutokana aliendeleza mgahawa ule na yule mwanamke wake. Kusema kweli roho iliniuma sana.

Nalijutia sana siku ambayo nilimuomba mume wangu talaka na kuachana naye. Sikupaswa kufanya hivo, labda pengine ningepaswa kuvumilia na kuongea naye jambo hilo kisha tukaendelea na maisha yetu.

Kutokana na kutambua makosa yangu, niliamua kwenda kwa Dr Bokko na kumueleza shida yangu. Kiu yangu ilikuwa ni kumuoana aliyekuwa mume wangu anarejea tena kwangu.

Basi pale kwa Dr Bokko alinifanyia matambiko na kunipa pete ya uchawi wa mapenzi. Hazikupita hata wiki mbili, aliweza kunitafuta na kuniomba turudiane na sasa tunaishi vizuri huku tukiendelea na biashara yetu.

Asante sana Dr Bokko ambaye anapatikana kwa +255618536050

Mwish

Tetesi za usajili Duniani Oktoba25