Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Machi 1, 2025 amefanya Ukaguzi wa Mradi wa Maboresho ya Gati mbili Mpya katika Bandari ya Tanga, Mradi unaogharimu kiasi Cha Shilingi Bilioni 419.

Kupata kitambulisho cha NIDA ni ndani ya siku 14 - Bashungwa
Maisha; Majambazi wamenipa mtihani mzito