Picha: Rais Samia katika maadhimisho siku ya Wanawake Duniani
2 months ago
Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika matukio tofauti aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha hii leo Machi 8, 2025.