Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Maji Same – Mwanga – Korogwe wakati wa ziara ya siku Moja Mkoani Kilimanjaro hii leo Machi 9, 2025.

Tanzania ni msimamizi mpango wa Nishati Safi Afrika - Rais Samia
Maisha: Boyfriend wangu anaomba fedha hadi anakera