Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti tofauti aliposhiriki Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi Kitaifa zilizofanyika Viwanja vya Bombadia Mkoani Singida leo Mei 1, 2025.

Rais Samia aongeza Mishahara ya Wafanyakazi kwa asilimia 35.1
RC Sendiga ahudhuria maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa