Beki wa Manchester City, John Stones anatarajia kukaa nje ya dimba kwa muda kufuatia kupata majeraha ya misuli.

Beki huyo mwenye umri wa miaka 29, alipata majeraha hayo tangu Stones, mwenye umri wa wakati wa maandalizi ya msimu mpya, ambapo tayari ameshazikosa mechi mbili za Ligi Kuu ya England.

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amethibitisha mchezaji huyo atakosa baadhi ya kwamba mechi zikiwemo za kimataifa zilizopo katika Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).

Alisema watamkosa Stones katika mechi hizo kutokana majeraha ya misuli ambapo jopo na kupata la madaktari linaendelea kumpatia matibabu kuhakikisha mapema katika majukumu yake ya anarejea kawaida.

Alisema pia Stones mchezo wa kufuzu michuano ya Euro ataukosa kati ya England na Ukraine ikiwemo mechi ya kirafiki dhidi ya Scotland mwezi ujao.

Alisisitiza mechi zingine atakazozikosa za Ligi Kuu ya England ni kati ya timu yake ya Manchester City dhidi ya Sheffield United utakaochezwa Agosti 27, mwaka huu na mchezo watakaoikabili Fulham, Septemba 2, mwaka huu.

“Tunatarajia kumkosa Stones kutokana na majeraha ya misuli aliyoyapata kabla ya kuanza msimu mpya, ataendelea kukosa baadhi ya mechi za Ligi Kuu ya England na timu yake ya taifa hadi hapo atakaporejea katika hali yake ya kawaida,” alisema.

Pia Manchester City inakosa huduma ya kiungo Kevin de Bruyne, ambaye alifanyiwa upasuaji misuli na atakuwa nje ya dimba kwa miezi minne.

Ubunifu kusaidia vyuo vya Maendeleo kukusanya mapato
Phiri afunguka mipango yake Simba SC