Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan amehudhuria Kilele cha Wiki ya Wazazi Kitaifa Mpanda Mkoani Katavi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika wakati wa Kilele cha Wiki ya Wazazi Mpanda mkoani Katavi.

Mkutano huo ambao umeandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania ulifanyika katika Viwanja vya Azimio, Mkoani Katavi tarehe 13 Julai, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Viwanja vya Azimio vilivyopo Mpanda kwa ajili ya kushiriki kwenye kilele cha Wiki ya Wazazi ambayo Kitaifa imefanyika mkoani Katavi hii leo Julai 13, 2024.

 

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakiwa kwenye Mkutano wa hadhara uliondaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania katika Viwanja vya Azimio Mpanda Mkoani Katavi hii leo Julai 13, 2024.

Shamrashamra za kilele cha Wiki ya Wazazi ambayo Kitaifa imefanyika Mpanda mkoani Katavi hii leo Julai 13, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda mbalimbali ya Maonesho kwenye kilele cha Wiki ya Wazazi ambayo Kitaifa imefanyika katika Viwanja vya Azimio Mpanda mkoani Katavi hii leo Julai 13, 2024.

Miradi ya kimkakati yafikia hatua za mwisho
Katavi kuachana na gharama kubwa za uzalishaji wa Umeme