Naitwa Nelly, siku moja tulikuwa na mvurugano na aliyekuwa mpenzi wangu. Kasikia stori za kimbea amekuja ghetto amenuna vibaya sana. Kisa kuna vitu ameambiwa, sasa mwanaume nikiulizwa nakataa ingawa yeye anasisitiza kuwa ni kweli.
Nikaachana naye nikaamua kulala, kumbe mwenzangu bado analo tu. Sasa wakati nimelala simu niliweka charge nikiwa na uhakika hawezi kufungua maana mara nyingi nafungulia fingerprint.
Kwahiyo nimelala na amani kabisa sina hata mawazo. Nimelala, baby akaja shika mgongo, akashika mabega mkono ukashuka mpaka mkononi mwangu. Nikiwa na usingizi nilikuwa nahisi kwa mbaliii miguso kuwa nashikwa.
Baadae nikasikia sauti ya mlango ukifunguliwa na bibie akatoka nje. Hata sikuhangaika nae sana, muda huo nipo na focus na usingizi wangu.
Nakuja kushtuka nakuta mtoto amekaa kwenye kona ya kitanda analia. Nikajiuliza analia nini? Si akanipa simu yangu tena ikiwa imefunguliwa.
Kumbe muda ule ananipeti peti alishuka hadi kwenye vidole na akafungua simu na mwanaume nisiwe na habari. Dah! ikabidi nianze kujieleza na kubembeleza ndoa upyaa.
Mtoto hakuelewa, maana simu yangu mimi ina kila upuuzi. Kuanzia magroup.. video.. picha n.k. Yaani hakuna sehemu yenye usalama. Basi siku hiyo akaamua kuachana na mimi kabisa.
Kila ambapo nilijaribu kumbeleza arudiane na mimi alikataa kabisa, hakuwa tayari kwa hilo hadi nikakataa tamaa. Siku moja nikasoma mtandaoni kuhusu Kiwanga Doctors kuwa wana uwezo wa kumrudisha mpenzi ambaye mliachana.
Nilichukua namba yao ya simu na kuwasiliana nao, niliwaeleza mkasa huo na wao wakatupa uganga wao ambao ndani ya muda mfupi tu ulimrudisha mpenzi wangu na sasa tunaishi wote kwa amani na tumeshafunga ndoa.
Imekuja kubainika kuwa ni watu wengi wamepata tiba ya ndoa zao na mahusiano kupitia dawa za Kiwanga Doctors. Wasiliana nao kwa namba +254 769404965 au tembelea tovuti yao www.kiwangadoctors.com au tuma email kiwangadoctors@gmail.com.