Interview hii mefanyika nyumbani kwao Dodoma, hii ni baada ya kusikika kwa  mambo mengi juu ya msanii Dark Master ambaye ni moja kati ya marafiki wakubwa wa Marehemu Albert  Mngweair. Lakini pia nje ya urafiki walikuwa wakiunda kundi moja la muziki ambalo ni East Zoo.  Sikiliza hapa chini mahojiano haya na Dark Master

Trump kuandika historia mpya Marekani
Serikali kupitia upya kanuni za utangazaji