Karibu usome habari zilizopewa nafasi kwenye kurasa za mbele na kurasa za nyuma za magazeti ya Tanzania, leo Oktoba 20, 2020.

Usikose pia kuangalia magazeti yakisomwa kupitia YouTube ya Dar24 Media muda mfupi ujao.

NEC yaruhusu Kitambulisho cha Taifa, Hati ya kusafiria na Leseni ya Udereva kupigia kura.
Jaji Masoud: Wananchi wanaamini mahakamani ni mahali pa kupata haki