Baada ya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya msimu wa 2019/20 kuzinduliwa rasmi kwa matokeo ya kustaajabisha, mashabiki wa soka duniani leo wataendelea na burudani ya soka, kwa kuanza kushuhudia mtanange wa michuano ya Europa League hatua ya makundi.

Michuano hiyo ambayo ni ya daraja la pili kwa ubora upande wa vilabu barani humo, itarindima kwa timu 64 zilizopangwa kwenye makundi 12 kupambana vilivyo, huku kila timu ikizihitaji alama tatu za kuanzia safari ya kulitafuta taji la michuano hiyo.

Katika michuano hii, England inawakilishwa na klabu za Arsenal na Man Utd, Hispania (Getafe na sevilla), Italia (SS Lazio na AS Roma), Ujerumani (Borussia Mönchengladbach na VfL Wolfsburg), ambazo zitapambana na klabu za mataifa mengine ya bara la Ulaya.

Michezo ya michuano hiyo hatua ya makundi inayoanza rasmi hii leo.

Kundi A

APOEL Nicosia Vs F91 Dudelange

Qarabag FK Vs Sevilla

Kundi B

Dynamo Kyiv Vs Malmoe FF

FC Koebenha Vs nvLugano

Kundi C

FC Basel Vs FC Krasnodar

Getafe Vs Trabzonspor

Kundi D

LASK Vs Rosenborg

PSV Eindhoven Vs Sporting CP

Kundi E

CFR Cluj Vs Lazio

Rennes Vs Celtic

Kundi F

Eintracht Frankfurt Vs Arsenal

Standard Liege Vs Vitoria de Guimaraes

Kundi G

FC Porto Vs Young Boys

Rangers Vs Feyenoord

Kundi H

Espanyol Vs Ferencvaros

Ludogorets Razgrad Vs CSKA Moscow

Kundi I

Gent Vs Saint-Etienne

Wolfsburg Vs FC Olexandria

Kundi J

Borussia Moenchengladbach Vs Wolfsberger AC

AS Roma Vs Istanbul Basaksehir

Kundi K

Slovan Bratislava Vs Besiktas

Wolverhampton Wanderers Vs Braga

Kundi L

Manchester United Vs FC Astana

Partizan Beograd Vs AZ Alkmaar

Video: Mkuu wa Mkoa Kagera awasha moto kwa watendaji wa vijiji
Angel di Maria aidungua Real Madrid