Wakati akiondolewa kambini Marekani, Klopp alilalamika tabia za beki huyo raia wa Ufaransa kuwa alikuwa akionyesha utovu wa nidhamu hadharani jambo ambalo lingeweza kuigawa timu wakati yeye anataka timu iwe kitu kimoja.

Wakati huohuo kuna taarifa kuwa Liverpool inafanya mpango wa kumtoa beki huyo mwenye umri wa miaka 26 kwa mkopo kwenda timu nyingine.

Sadio Mane
Dejan Lovren na Emre Can

Klopp aliwasajili Joel Matip na Ragnar Klavan ili kuongeza nguvu katika safu ya ulinzi wa kati jambo ambalo linampa ugumu Sakho kwa kuwa pia bado Dejan Lovren ana uhakika wa kucheza katika nafasi hiyo.

Jose Gimenez Amengia Katika Rada Za Arsenal FC
FC Barcelona Wamuongezea Muda Wa Mapumziko Neymar