Wanamgambo wa al-Shabab wameshambulia na kulipua mtambo wa mawasiliano uliopo katika mji wa Fino, Kenya.
 
Jeshi la Polisi nchini humo limesema kuwa lilipambana sana na wanamgambo hao na hakuna maafa yoyote yaliyoripotiwa kwa upande wa polisi waliokuwa wakiulinda mtambo huo wenye vifaa vya kurushia mawasiliano.

 

Simba SC Kusheherekea Miaka 80 Ya Kihistoria
Klopp Aeleza Sababu Za Kumtimua Kambini Mamadou Sakho