Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 15, 2023 amefungua Shule ya Msingi Imbele na shule ya Sekondari Mwanamwema kwa Niaba ya Shule Mpya 302 Zilizojengwa Nchi Nzima kupitia program ya BOOST na SEQUIP na kutoa wito kwa Wazazi kuwapeleka wototo Shule.

Mavunde autaka Mgodi uwalipe fidia Wananchi
Rais Samia azindua Shule 302 zilizojengwa na Boost, Sequip