IMGS4067

IMGS4068

IMGS4054 (1)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na wabunge kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6,2016. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni, Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba.

 

 

IMGS4077Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016.

IMGS4081 (1)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Sumbawanga mjini, Aeshi Hilaly kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016.
IMGS4088
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi kwenye jengo la Utawala  la Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016.
IMGS4092
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Segerea, Bonnah Kaluwa kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016.

Tume ya Mipango Yataka Uwekezaji Uwe na Tija na Usaidie kuibua Miradi Sahihi
Uwanja Wa Uhuru Kutumika Kesho