Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Mwana wa Kifalme Faisal bin Farhan Al Saud na kufanya mazungumo ya kuendelea kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizi mbili.

Kiswahili kutumika mikutano ya AU
Mutafungwa awavalia njuga madereva wa malori