Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya wageni alipowasili katika Ofisi za Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa leo tarehe 14 Februari, 2022. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Aundrey Axoulay.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Mhe. Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa leo tarehe 14 Februari, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Mhe. Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa leo tarehe 14 Februari, 2022.

Waziri Bashungwa aeleza umuhimu wa kalenda ya Utekelezaji wa mitaala
Spika aweka msimamo ubunge wa Halima Mdee na wenzake