Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Viongozi mbalimbali wa Serikali kinachohusu kuanza kwa Mchakato wa Katiba mpya, kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Serikali yaridhishwa utekelezaji wa miradi Halmashauri
Waliofariki kwa mafuriko wafikia 182, Rais atangaza maombolezo