Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, hii leo tarehe 02 Machi, 2022 amezungumza na viongozi wa dini mbalimbali nchini.
![](https://dar24.com/wp-content/uploads/2022/03/1646230375648-819x1024.jpg)
Kikao hicho baina ya Rais na Viongozi wa dini kimefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
![](https://dar24.com/wp-content/uploads/2022/03/1646229909106-1024x864.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, hii leo tarehe 02 Machi, 2022 amezungumza na viongozi wa dini mbalimbali nchini.
Kikao hicho baina ya Rais na Viongozi wa dini kimefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.