Hatimaye tatu bora ya watangaza nia ya urais Tanzania wa chama cha CCM yatolewa. Ni matokep ambayo hayakutegemewa na nchi nzima lakini hii ndio hali halisi.

Waliochaguliwa ni

1. John Magufuli
2. Amina S Ali
3. Asha-Rose Migiro

Kikao kinaendelea hivi sasa Dodoma, wakiwakaribisha makada waliofika tatu bora.

 

 

Dodoma: Magufuli Ashinda Kwa Kishindo Kugombea Urais CCM
Wajumbe Wagomea Kikao Wakimtaka Lowassa, Kikwete Asema 'Haijawahi Kutokea'