Bashiru aitahadharisha nchi dhidi ya machafuko, Maiti yafukuliwa yafanyiwa unyama ni ya binti wa miaka 35, kaburi lake labomolewa usiku na watu wasiojulikana, mwili wake wavuliwa nguo, ndugu wadai umeingiliwa kimwili, polisi waanza uchunguzi, CAG asema deni Muhimbili halilipiki, Ripoti ya CAG gumzo bungeni…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya leo Aprili 13, 2019.

AFCON: Tanzania ilivyopangiwa Senegal, Kenya na Algeria
Habari kubwa katika magazeti ya Tanzania leo Aprili 13, 2019