Mkuu wa mkoa wa Dar, es salaam Paul Makonda ametoa taarifa muhimu kwa wakazi wote wa jiji la Dar es salaam. Makonda ameeleza namna ya kuepuka matukio mbali mbali yanayotishia na kuhatarisha maisha ya watu hivyo ni haki na sababu za msingi kwa wenye viti wa mitaa kufahamu kila nyumba wanakaa watu gani na wanafanya shughuli gani.

Beppe Marotta Kuzungumza Na Wakala Wa Paul Pogba
Makanisa 47,000 yawekwa chini ya tahadhari baada ya IS kumuua kikatili Padri kanisani