Naibu spika Tulia Ackson amesimama na kusoma mwongozo kuhusu wabunge wanaotoka nje ya bunge huku wakiendelea kupokea posho.

Hayo yalisemwa na Naibu huyo mara tu baada ya Serikali kupitia Wizara ya fedha na mipango ilipomaliza kuwasilisha bungeni Dodoma mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2016. Akiwasilishwa na Waziri Philip Mpango.

 

Waziri Mpango Ametuletea Mpango wa Maendeleo wa Taifa2016/17, Kayataja Mambo Haya

Huenda Kikosi Hiki Ndicho Bora Kwa Msimu Wa 2015-16
Kigoma yaongoza kwa umasikini, Serikali yataja Mikoa Mitano Maskini zaidi