Siri ya kikao cha Nyalandu na Lowassa Dar, Deni la Taifa lapanda, Waziri wa fedha atoa sababu tatu za kupanda, Watanzania wakamatwa wakienda kujiunga na Al-Shabaab, Takukuru yajitosa bodi ya mikopo…, Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Novemba 8, 2017. Tazama video
