Tuhuma za rushwa zatikisa Bungeni, Mtoto alawitiwa, awekewa udongo, Kuzagaa maabara feki mshtuko kwa Serikali, Kura 391 za wabunge kuamua bajeti trilioni 33, CCM yatathmini uchaguzi mkuu 2020, EAC yatajwa jumuiya bora zaidi Afrika, Wabunge walia na Amunike…, Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo jumanne 25, Juni 2019.

Live: Magufuli akizindua ghala na mitambo ya gesi ya LPG
Video: Mazingaombwe ya AJABU zaidi Duniani | Hawa Wamefariki dunia wakionyesha Mazingaombwe yao LIVE